Ahsante mkuu,
Ni kanisa la RC ndugu yangu.
RIP Fr Nyozo.
DC, ni Fr Nyonzo aliyewahi kuhudumu kanisa la Mvomero miaka ya 80-90?
Sina hakika mkuu ila inawezekana. Mimi nilikutana naye kanisa kuu la RC pale Moro mwanzoni mwa 2000. Tulielewaana sana kwa kipindi kifupi nilichokaa naye. Pamoja na kwamba alikuwa na umri wa karibu miaka 80 wakati huo, bado alikuwa na nguvu za kufanya mambo mengi. Na zaidi ya yote alikuwa na hekima na busara.
Kwa umri huo ulioutaja, most likely atakuwa yeye. Alikaa muda mrefu tu kanisa la Mvomero. Nilipata komuniyo ya kwanza kupitia kwake.