Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

Buriani Kambale, umetesa sana Ukonga

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Duh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana madereva wa bodaboda za Mombasa.

Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.

Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.
 
Marehemu alikua mtu mzuri sana

Marehemu alikua hapendi ugomvi na mtu

Tutamkumbuka marehemu kwa jinsi alivyojitoa kwa jamii

Hakika tumeondokewa na kijana tulie muhitaji sana

Eeeh baba tusaidie maana tunapitia kpindi kigumu

Siku ya mazishi yatasikika hayo maneno
 
Marehemu alikua mtu mzuri sana

Marehemu alikua hapendi ugomvi na mtu

Tutamkumbuka marehemu kwa jinsi alivyojitoa kwa jamii

Hakika tumeondokewa na kijana tulie muhitaji sana

Eeeh baba tusaidie maana tunapitia kpindi kigumu

Siku ya mazishi yatasikika hayo maneno
Dunia na tanzania tumepata pengo kubwa na hitazibika kwa kuondokewa na huyu kambale
 
Duh siamini ila sasa nimejua kila.mjanja ana mjanja wake. Huyu jambazi katesa sana watu kaua sana bodaboda za Mombasa.

Alikuwa akikamatwa anafikishwa polisi mnajua anaishia huko wiki inayofwata anatoka na kufanya mara mbili ya aliyofanya huko nyuma.

Pongezi kubwa Mh. Mambosasa na kikosi kazi chako. Nahisi wote waliokuwa naye sasa wataacha
Lala Kambale pumzika dunia ilishakuchoka.
Nlikutana naye siku moja
Nlikuwa natoka big John alafu nlikuwa mitungi
Kuna jamaa akanionesha Ukisikia kambale ndy hyo

Ova
 
Kama anaye-deal na bodaboda anaitwa jambazi, na wale ambao kuna siku walituvamia benki wakiwa na AK47 pamoja na mabomu ya kurusha kwa mkono tuwaitaje?!

Huyo ni mwizi tu anayetumia silaha dhidi ya raia wasio na silaha... pumbavu zake!
 
Back
Top Bottom