TANZIA Buriani Mzee Pius Gugadi, Msadifu wa Majengo NHC

TANZIA Buriani Mzee Pius Gugadi, Msadifu wa Majengo NHC

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Once again, Msasani Village tùmepatwa na pigo kubwa. Huu ni mfululizo wa vifo vya kaka zetu, dada zetu na baba na mama zetu.

Leo nasikitika kuujulisha umma juu ya kuondokewa ña mzee wetu Pius Gogadi. Pius Gogadi alikuwa ni msadifu majengo mkuu wa shirika la nyumba la taifa NHC

MKE wa maremu, bi Rhoda alishatangulia mbele ya hàki. Rhoda alikuwa ni mwajiriwawa JESHI LA WANANCHÌ WA TANZANIA.

MUNGU AZÌWEKE MAHALI PEMA PEPONI ROHO ZA MARÈHEMU
 
Once again, Msasani Village tùmepatwa na pigo kubwa. Huu ni mfululizo wa vifo vya kaka zetu, dada zetu na baba na mama zetu.

Leo nasikitika kuujulisha umma juu ya kuondokewa ña mzee wetu Pius Gogadi. Pius Gogadi alikuwa ni maadifu majengo mkuu wa shirika la nyumba la taifa NHC

MKE wa maremu, bi Rhoda alishatangulia mbele ya hàki. Rhoda alikuwa ni mwajiriwawa JESHI LA WANANCHÌ WA TANZANIA.

MUNGU AZÌWEKE MAHALI PEMA PEPONI ROHO ZA MARÈHEMU
Poleni sana Nazjaz.
 
Back
Top Bottom