Ok, 🤔Mapinduzi ya EV yanazidi kushika moto, na Burkina Faso kama moja ya nchi za Africa, hawapo nyuma.
View attachment 3216444
Wamekuja na chuma ITAQUA EV yenye range ya 300 km.
View attachment 3216445
Taarifa zaidi kuhusu gari kama bei, upatikanaji, perfomance na models hazijawekwa officially, ila ni mwanzo mzuri kwa nchi kama hiyo na iwe chachu kwa Tanzania. View attachment 3216446
Asanteni.
Na cc tunaye ya Masoud KipanyaMapinduzi ya EV yanazidi kushika moto, na Burkina Faso kama moja ya nchi za Africa, hawapo nyuma.
View attachment 3216444
Wamekuja na chuma ITAQUA EV yenye range ya 300 km.
View attachment 3216445
Taarifa zaidi kuhusu gari kama bei, upatikanaji, perfomance na models hazijawekwa officially, ila ni mwanzo mzuri kwa nchi kama hiyo na iwe chachu kwa Tanzania. View attachment 3216446
Asanteni.
EV?Na cc tunaye ya Masoud Kipanya
Hilo lipo kwenye biashara zote duniani mfano apple ananunua vifaa vingi tu kwa samsungIla kama hapo hayupo mchina basi msouth anahusika ...............sisi weusi sana tupo na tumekuja kwa ajiri ya kupoka na kung'ang'ania madaraka tu na sio kingine
Mleta mada, ni kosa kubwa kukosea jina la kitu unachohabarisha jamii. Kweli huoni tofauti ya Q na O ?Mapinduzi ya EV yanazidi kushika moto, na Burkina Faso kama moja ya nchi za Africa, hawapo nyuma.
View attachment 3216444
Wamekuja na chuma ITAQUA EV yenye range ya 300 km.
View attachment 3216445
Taarifa zaidi kuhusu gari kama bei, upatikanaji, perfomance na models hazijawekwa officially, ila ni mwanzo mzuri kwa nchi kama hiyo na iwe chachu kwa Tanzania. View attachment 3216446
Asanteni.