JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Serikali ya Kijeshi ya Nchi hiyo imemtaja kiongozi huyo wa Umoja wa Mataifa, Barbara Manzi kuwa ni mtu ambaye hatakiwi kubaki Nchini humo
Waziri wa Mambo ya Nje, Olivia Rouamba amesema tamko la UN la hivi karibuni kuwa machafuko yanayotarajia kutokea Burkina Faso yanasababishwa na udini yamelichafua taifa hilo na kukimbiza wawekezaji
Uasi umetajwa kumewakimbia watu milioni mbili na kusababisha mapinduzi mawili ya kijeshi ndani ya mwaka mmoja, wengi waliokimbia makazi yao wanaishi katika kambi zinazosimamiwa na UN.
========== ========
Burkina Faso tells UN country chief to leave
Burkina Faso has ordered the top UN official in the country to leave immediately.
The military government declared UN resident coordinator Barbara Manzi "persona non grata".
Foreign Minister Olivia Rouamba said recent statements by the UN official warning of impending chaos caused by the Islamist insurgency had discredited Burkina Faso and put off potential investors.
The insurgency has already displaced nearly two million people, and prompted two military coups within a year.
Many of the displaced live in camps run by the UN.
Source: BBC
Waziri wa Mambo ya Nje, Olivia Rouamba amesema tamko la UN la hivi karibuni kuwa machafuko yanayotarajia kutokea Burkina Faso yanasababishwa na udini yamelichafua taifa hilo na kukimbiza wawekezaji
Uasi umetajwa kumewakimbia watu milioni mbili na kusababisha mapinduzi mawili ya kijeshi ndani ya mwaka mmoja, wengi waliokimbia makazi yao wanaishi katika kambi zinazosimamiwa na UN.
========== ========
Burkina Faso tells UN country chief to leave
Burkina Faso has ordered the top UN official in the country to leave immediately.
The military government declared UN resident coordinator Barbara Manzi "persona non grata".
Foreign Minister Olivia Rouamba said recent statements by the UN official warning of impending chaos caused by the Islamist insurgency had discredited Burkina Faso and put off potential investors.
The insurgency has already displaced nearly two million people, and prompted two military coups within a year.
Many of the displaced live in camps run by the UN.
Source: BBC