Burna Boy amefanikiwa kuujaza ukumbi wa O2 Arena London Uingereza katika tour yake ya Space Drift

Burna Boy amefanikiwa kuujaza ukumbi wa O2 Arena London Uingereza katika tour yake ya Space Drift

barcelonista

Senior Member
Joined
Apr 26, 2021
Posts
158
Reaction score
149
Staa wa muziki kutoka Nigeria Burna Boy @burnaboygram amefanikiwa kuujaza ukumbi wa O2 Arena London Uingereza katika tour yake ya Space Drift. O2 inachukua watu 20,000. Kwenye IG yake Burna Boy ameandika, "Nimeujaza uwanja wa 02 Mwenyewe, kwa bei niliyotaka, kwa njia niliyotaka, sijaongea sana, nimefanya vitendo tu".
-
Burna Boy alikuwa onstage na wasanii Rema na Omah lay

African Giant🙌🙌

post_238357071_4329330217160563_8020111337100735948_n.jpg
 
Majigambo kama ayo akifanya yule wa hapa kwetu mnamuona anajidai.

Ata ivyo huko kujitapa et kwa bei nilotaka na njia nilotaka ni kijidai kuliko pitiliza. Hajashukuru mashabiki kujitokeza kwa wingi hata na wale waliofanikisha event kwenda sawa

Namuona ni limbukeni wa mafanikio kwa izo kauli zake
 
Kwan taifa inachukua watu wangapi nasi tukaijaze.
20000 n watu wachache sana
 
Majigambo kama ayo akifanya yule wa hapa kwetu mnamuona anajidai.

Ata ivyo huko kujitapa et kwa bei nilotaka na njia nilotaka ni kijidai kuliko pitiliza. Hajashukuru mashabiki kujitokeza kwa wingi hata na wale waliofanikisha event kwenda sawa

Namuona ni limbukeni wa mafanikio kwa izo kauli zake
You've said it all bro, bragging za kifala na ulimbukeni mwingi vimejidhihirisha.
Alitakiwa kuwashukuru fans, organizers na promoters kwanza.
Lakini wanasema showbiz bila majigambo haiendi, kakumbuka kurusha vijembe kwa rivals kabla ya mengineyo.
 
Majigambo kama ayo akifanya yule wa hapa kwetu mnamuona anajidai.

Ata ivyo huko kujitapa et kwa bei nilotaka na njia nilotaka ni kijidai kuliko pitiliza. Hajashukuru mashabiki kujitokeza kwa wingi hata na wale waliofanikisha event kwenda sawa

Namuona ni limbukeni wa mafanikio kwa izo kauli zake
Kama hujui hilo ni dongo kwa Davido,,,Wakwetu akajaze hatakama ataleta majigambo atakuwa kafanya jambo kubwa kidunia kwenye muziki.
 
Staa wa muziki kutoka Nigeria Burna Boy @burnaboygram amefanikiwa kuujaza ukumbi wa O2 Arena London Uingereza katika tour yake ya Space Drift. O2 inachukua watu 20,000. Kwenye IG yake Burna Boy ameandika, "Nimeujaza uwanja wa 02 Mwenyewe, kwa bei niliyotaka, kwa njia niliyotaka, sijaongea sana, nimefanya vitendo tu".
-
Burna Boy alikuwa onstage na wasanii Rema na Omah lay

African Giant🙌🙌

View attachment 1913989
Hii jeans anaipenda
 
Wasanii bwana,watu walipe viingilio
Hapo wao ndiyo wanapata pesa,lakini
Wanaishia kujionesha na kuwaletea dharau
Watu

Ova
 
Staa wa muziki kutoka Nigeria Burna Boy @burnaboygram amefanikiwa kuujaza ukumbi wa O2 Arena London Uingereza katika tour yake ya Space Drift. O2 inachukua watu 20,000. Kwenye IG yake Burna Boy ameandika, "Nimeujaza uwanja wa 02 Mwenyewe, kwa bei niliyotaka, kwa njia niliyotaka, sijaongea sana, nimefanya vitendo tu".
-
Burna Boy alikuwa onstage na wasanii Rema na Omah lay

African Giant🙌🙌

View attachment 1913989
Msubiri Baba Levo aje kukujibu 😀
 
Back
Top Bottom