Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Renowned British model Naomi Campbell has reacted to the 2020 Grammy Awards that saw Beninese singer-songwriter Angelique Kidjo bests Nigeria’s Burna Boy and others to winning the Best African Album category. The supermodel congratulated Angelique
First, I want to say deepest congratulations to @angeliquekidjo for her award on Sunday, and thank you to you for spreading light and opening minds through your music… •
She advises the Grammy organizers to get in-depth knowledge of African music as it’s quite wrong putting all African music under one category when different artists excel in different genres of music.
Kipengele hiki ndiyo kimenisikitisha sana...👇👇👇👇👇👇👇👇👇
She advises the Grammy organizers to get in-depth knowledge of African music as it’s quite wrong putting all African music under one category when different artists excel in different genres of music.
Ni kipengele hiki ambacho kimeua aina ya muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania na kwenda kuparamia muziki wa Nigeria. Ni kipengele hicho ambacho Nigeria kafanikiwa kuu ptomote Muziki wake kuasi cha kuonekana kwamba Muziki wa Ki-nigeria ndiyo unawakilisha uafrika, kiasi cha kuonekana ni kigezo muhimu ili uonekane katika levels za kimataifa basi yakupasa uweke nakshi za kinaigeria latika wimbo wako au ushirikiane na wanaigeria.
Hii imepelekea Nigeria kujiona kwamba wao ndiyo kituo na nembo ya burudani barani Afrika.
Kama ushauri wa Naomi Campbell utafanyiwa kazi basi itakuwa ni fursa muhimu kwa wanamuziki wa kiafrika ku shine zaidi globally na Afrika kuonrkane kwa upana wake na pride yake ya kuwa na mult genre, badala ya hsli inayijijenga hivi sasa kwamba ukitaka kuiangalia au kuijua Africa basi iangalie Nigeria.
First, I want to say deepest congratulations to @angeliquekidjo for her award on Sunday, and thank you to you for spreading light and opening minds through your music… •
She advises the Grammy organizers to get in-depth knowledge of African music as it’s quite wrong putting all African music under one category when different artists excel in different genres of music.
Kipengele hiki ndiyo kimenisikitisha sana...👇👇👇👇👇👇👇👇👇
She advises the Grammy organizers to get in-depth knowledge of African music as it’s quite wrong putting all African music under one category when different artists excel in different genres of music.
Ni kipengele hiki ambacho kimeua aina ya muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania na kwenda kuparamia muziki wa Nigeria. Ni kipengele hicho ambacho Nigeria kafanikiwa kuu ptomote Muziki wake kuasi cha kuonekana kwamba Muziki wa Ki-nigeria ndiyo unawakilisha uafrika, kiasi cha kuonekana ni kigezo muhimu ili uonekane katika levels za kimataifa basi yakupasa uweke nakshi za kinaigeria latika wimbo wako au ushirikiane na wanaigeria.
Hii imepelekea Nigeria kujiona kwamba wao ndiyo kituo na nembo ya burudani barani Afrika.
Kama ushauri wa Naomi Campbell utafanyiwa kazi basi itakuwa ni fursa muhimu kwa wanamuziki wa kiafrika ku shine zaidi globally na Afrika kuonrkane kwa upana wake na pride yake ya kuwa na mult genre, badala ya hsli inayijijenga hivi sasa kwamba ukitaka kuiangalia au kuijua Africa basi iangalie Nigeria.