Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Kama DAVIDO ambavyo anashindana views[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwamba yupo level nyingine kabisa, kama kaweza kufanya kazi na Ed Sheeran, Sia , Stormz na Becky G basi ataendelea kufanya kazi nyingi zaidi huko duniani.
Sisi acha tuendelee kushindania views za youtube!
ππ Hatari.Tegemea chawa wa kwa babu shamte kuja kuushambulia uzi muda sio mrefu
πππ Kid Ayo!Yeyeyeye yeye mh anhaa yeyeeh.
Naweza kuipataje hii album jamani
Okay Ngareroo. ThanksAudio mack ipo
Una kichaa wewe.Ni msanii wa kawaida mwenye connections. Nyimbo zake kali hazizidi tano.
Bongo wamejaa wasanii wa CCMSafi kabisa
Sio akina sie tunaoshindana na akina shishi