Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliiona show ya Diamond
Huko Melbourne Australia? au mahaba yako yako kwa Burna boy
Charity begins at home.Acha kumfananisha burna boy na vitu vya ajabu ajabu
Domokayaaaa hata Rema hamfikii, ndo amfikie Burna mwenye Grammy awards?Uliiona show ya Diamond
Huko Melbourne Australia? au mahaba yako yako kwa Burna boy
Uliloliongea ni kweli
Lakini Kwa hiyo sentence Yako "kuliko wote Tanzania" inaonyesha wazi unachuki zidi ya diamond platnumz
Kitu ambacho diamond au mimi binafsi hakiniumizi
Ushauri wangu mwanume fuga hela hizi chuki za kipumbavu zidi ya watu ambao hata hawajui ka unaexist hazitokupeleka popote
mkuu umejuaje hana hela??
mambo ya kumwambia mtu atafute hela bila kusema mpaka shingapi sio sawa.
Kuna big fish in a small pond na kuna big fish in the ocean
Domokayaaaa hata Rema hamfikii, ndo amfikie Burna mwenye Grammy awards?
Nyiee machawaaaaa mmedata sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]