The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Wakuu habari za muda huu nimeona nifungue uzi huu kwa lengo la kujadili kwa mapana haya yanayoendelea nchi ni Burundi baada ya Ijumaa ya wiki jana Rais wa nchi hiyo kutamka hadharani kuwa kuna baadhi wa viongozi wa juu wa serikali yake kutamani kiti chake cha urais na jana Rais Everiste kutangaza kumfuta kazi Waziri Mkuu wake ikiwa ni muendelezo ya yale aliyotaka Ijumaa.
je, Hao ndugu zetu wataingia katika machafuko mengine na jaribio la mapinduzi ya Rais akiwa madarakani kwa mara ya 3 ikiwa ni 2 huko nyuma ikihusisha mauaji ya Marais 2 wakiwa madarakani?
Karibuni tuchangie wadau.
je, Hao ndugu zetu wataingia katika machafuko mengine na jaribio la mapinduzi ya Rais akiwa madarakani kwa mara ya 3 ikiwa ni 2 huko nyuma ikihusisha mauaji ya Marais 2 wakiwa madarakani?
Karibuni tuchangie wadau.