Burundi yafuata nyayo za Tanzania, yakataa chanjo

Lazima ifike wakati tusipokee kila tunacholetewa
#africa#tanzania#wakeup
 
Lakn ni jamb zur kukataa KTU ambach hna uhakika na ufanixi wake
Chanjo ndio kwanza inaanza watu hawajaanza kupata tumeshakataa ingekuwa tunasubiri tuone matokeo baada ya chanjo tuone wagonjwa wamepungua, vifo vimepungua au hapana ndio tufanya maamuzi sisi hata bado tumeshaamuwa hatutaki.
 
We are no longer dunia ya tatu. We are now dunia ya pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…