Afadhal Hilo Hakuna charging system kabisa mwendo wa kushika roho yako tu mkononSamhn kidogo,,huo ni ungo au gari!!cji narudi nyumbn chaaa!!
Wewe naona haya magari yetu hayakufai kabisa maana roho yako unaionea huruma sanaMwambie anisaidie kivyovyote tu jmni
Mi ndo nishachanganyikiwa hapo.
Daby come kwa kipande hii
Wewe naona haya magari yetu hayakufai kabisa maana roho yako unaionea huruma sana
Panda haya yafuatayo
1. Kilimanjaro
2.Tahmeed
3.Ngorika
4.Bufalo
5.Happy Nation
6.Dar Express
Una wazimu sio kidogoAaaaaa siyataki yote bhana naondoka na ungo tu.mi haya mambo yenu ya kizungu yameshanishindaga.
Ha ha ha ha ha ha[emoji12][emoji12][emoji12]tena wazimu wenyewe ulipandaga pipa la asili.patamu hapo
....ushakula chuma wewe,tulia!Samahn mkuu,id yangu ikiwa mbaya/nzur wew una% ngapi ya faida!!
Niweke pua,nywele,macho,au chochote kile sidhani kama kuna kinachokuhusu wewe.
Vinavyowahusu watacomment na kulike wew hata ukipita bila kutema mate huna faida,pita tu
Kwa bahat mbaya sijazoea majibizano ya kutafuta kiki