Elections 2010 Busanda na Bukwimba mambo vipi?

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Niko kwenye mafungo na Kondoo wachache kuombea taifa zidi ya uchakachuaji! Sina update za kwa mama Leticia na kule kwa Fineas Magesa! Naombeni mwenye fununu!

Mch Masa
 
Mkuu hata mimi nina hamu ya kujua Buchaosa imekuwaje, mwenye fununu wakuu!!!
 
Bado tunafuatilia kwa karibu,tutahabarishana baadaye!!
 
Nilimuona huyu dada wakati akigombea uchaguzi mdogo, alikuwa mchovu mchovu fulani, hajiamini, wala hana uwezo wa kujieleza. Aliposhinda tuu, akachenge, soap soap kwa sana, ndipo nikamuona na hidden beauty yake she is humble, leo namtafuta kwa simu, simu yako iko off all the time, hiyo ni dalili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…