Busara ipi itumike!

yassird200

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2025
Posts
466
Reaction score
813
Nipo kwenye mahusiano na dada fulani, tunaweza kusema hii kazi alinipigia promo sana, ni sekta binafsi ila ukweli ni innocent girl (hana makuu).

Tupo taasisi moja ila branches tofauti najua ananipenda ila niko na mahusiano na dada fulani namkubali sana (30+) na ndio type zangu hao ma over.

Shidaa! N jinsi ya kumkataa kiustaraabu maanake ameanza kuingiza inshu za ndoa na nyumbani wamempokea! Na wanamkubali sana.

Ipi ni njia sahihi ya kuachana naye coz amenisaidia vingi ukweli nilijua hatutafika mbali lakini amekomaa sana . Kuna baadhi ya matukio nimempiga ila bado akasamehe hata hili la mahusiano yangu mengine anajua.
 
Weka picha zao
 
Nilianzisha nae mahusiano sikuwa nawaza tutafika huku mkuu.
Mkiwa mnaandika muwe mnarudia kusoma, umeelezea kama hao wote ni mtu mmoja. Halafu unaonekana bado una utoto mwingi, kwenye mahusiano kesi yako ni nyepesi sana sio ya kukimbilia kuomba ushauri. Real Men are disappearing at very high speed...
 
Ukifanikiwa kumuacha nipasie mimi nina haja nae sitamuaçha. Watu wengine hatuna hata mmoja.
 
Tunda umeliga?
Na je, utamu wa tunda ukoje.

Nijuze.
 
Mkiwa mnaandika muwe mnarudia kusoma, umeelezea kama hao wote ni mtu mmoja. Halafu unaonekana bado una utoto mwingi, kwenye mahusiano kesi yako ni nyepesi sana sio ya kukimbilia kuomba ushauri. Real Men are disappearing at very high speed...
Ee bado mm nimtoto mkuu kwan vp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…