Busara na hekima zitumike wakubwa

Mwa chando

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
359
Reaction score
122
Naamini kila mtu humu ndani anaupeo mkubwa wakushauri jambo hasa kuhusu elimu na coz zake!
Hivi wanajamvi kunautofauti gan (kwa wale wanaojua) kati ya coz ya BACHELOR OF ACCOUNTING AND FINANCE WITH IT and
BACHELOR DEGREE IN PUBLIC SECTOR ACCOUNTING AND FINANCE..!
vipi kuhusu soko lake la ajira na utofauti wake maana zinanichanganya kidogo!
 
Kaka mimi naona hizo hazina utofauti na zingekuwa na utofauti pale tu iyo coz ya kwanza ingekuwa in private sector.Na kuhusu soko la ajira iyo inayobase kwenye public sector inasoko zaidi kuliko private lakini in general ukisoma accounting and finance utaangaika sana kupata ajira labda ujiajiri bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…