Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Vijana wa CHADEMA wakiongozwa na Yericko Nyerere wanasema Lissu hakupaswa kusema mapumgufu ya chama anayotaka kuyafanyia kazi. Wanadai watu wakijua uhuni ulio ndani ya chama watakimbia.
Ni jambo la ajabu kwa mwandishi wa vitabu kuwa na mawazo finyu namna hii unless kuna faida anaipata kwa kusema hivyo.
Hongera sana Lissu na wachache waliochoka kupelekeshwa kama makondoo.
Ni jambo la ajabu kwa mwandishi wa vitabu kuwa na mawazo finyu namna hii unless kuna faida anaipata kwa kusema hivyo.
Hongera sana Lissu na wachache waliochoka kupelekeshwa kama makondoo.