yakiti's son
Member
- May 19, 2013
- 12
- 0
Haki iko kwa nani? mtu ameuziwa shamba katoa pesa kidogo kwa miadi ya kumaliziana kwa muda fulani na wameandkishiana kisheria lakn mwenye shamba akawa anashda kabla ya muda wa kumaliziwa pesa akaamua kuuza shamba baadae...inaendelea ukurasa wa chini