..pesa kama miadi yao haujafika na mteja wa 2 naye anasema shamba ni lake kwan ametoa fedha taslim na wameandikishiana na wote wana hati ya mauziano..sasa wanajf kazi kwenu hapo nani mmilik halal wa shamba hilo mteja 1 au mteja 2? na kwa vigezo vipi?