Busara za kondoo kwa mbwa mwitu!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Busara ya Mbowe kwa Samia ni sawa na busara ya kondoo kwa mbwa mwitu. Ambayo kondoo ameishia kuliwa na Mbwa mwitu.

Mbowe na siada za ukondoo kwa watu na mafisadi wa nchi hii haziwezekani. Nchi inahitaji Mbwa mwitu wengine kupigania kondoo sio vinginevyo.

Hili ni fundisho kuna wakati hutakiwi kuwa kundoo mpole mpole kwenye haki
 
Duh, MBOWE hakujua kwamba hamna maridhiano kati ya hasi na chanya, sura na kisogo, mizizi na matawi, mbingu na ardhi, maji na moto etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…