bush na osama: picha za hivi karibuni!!!

minda

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2009
Posts
1,068
Reaction score
67
tunaambiwa mzee wa kukwepa kiatu kwa sasa mambo yake swaaaaafi; kifriji kinachomoza utadhani mtemi fulani wa kiafrika au mbunge wa bongo; huku akitumia muda mwingi kupiga soga na mkewe Laura!!!



Osama naye tunaambiwa tangu afurumushwe tura bora, mambo yake poa kabisa kwani anaishi uswazini kweupeeee; amepangisha nyumba nzima huko pakistani na nasikia ni mzee wa chuma!!!

http://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asp
http://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asphttp://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asp
 
We minda hujatulia hivi wewe ni me au ke ila picha zako hazina mvuto maana ni photoshop...




me dume dadangu!!!
photoshop: asante bado najifunza; kumbe we hizi picha unazopostigi huwa unapiga mwenyewe!! hongera sana itabidi nikutafute unipatie japo 'kifurushi kimoja' tu.
 

Na kwenye kifua ameweka heleni au pete?
 
me dume dadangu!!!
photoshop: asante bado najifunza; kumbe we hizi picha unazopostigi huwa unapiga mwenyewe!! hongera sana itabidi nikutafute unipatie japo 'kifurushi kimoja' tu.

Mie sio dada ni kaka mazee 'Kifurushi kimoja' ndio nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…