Bush stars na Born Town first eleven.....

Eeh bwana ilikuwa hatari sana.
Mimi nilikuwa napenda yale madongo wanayopeana wakati wa game.
Wa vijijini wakiwatuhumu wa mjini kuwa ni warembo/walaini kama watoto wa kike, wa mjini wakiwatuhumu wa vijijini wachafu na ushamba wao.
Bila kusahau mazoezi makali ya Bush Stars....daah!
 
Lodi lofa,Profesa ndumilakuwili,pimbi,sokomoko na chupa yake ya gongo

Lodi Lofa ndie alikua akinimaliza kwa majibu yake aiseeee......!!
 

Attachments

  • 1443549913202.jpg
    42.9 KB · Views: 709
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…