Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi kwa nini wale wazee wenye mabusha ukiwajambisha wanaruka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Hakuna lolote akili zao mbovu tu...Hivi kwa nini wale wazee wenye mabusha ukiwajambisha wanaruka?
Hivi kwa nini wale wazee wenye mabusha ukiwajambisha wanaruka?
Huwa nafrahi sana kuona wanavyo rukaruka nasikia ni midadi tu Komredi ndo huwa inawafanya waruke ruke kuna vitu vinatekenya kwenye busha
Lazima tutakuwa na wenye mabusha humu ngoja tuwasubiri watueleze....
Alafu nasikia wanawake wanawapenda sana wenye mabusha maana anapata raha mara mbili ule mzigo unagonga gonga pale kwenye kujiexpress
Alafu nasikia wanawake wanawapenda sana wenye mabusha maana anapata raha mara mbili ule mzigo unagonga gonga pale kwenye kujiexpress
Wenye mabusha tunaomba mwongozo wenu hapa plizi.
Mi sizunguki !mbona unazunguka tu?
Kwa hyo unalo au?
mbona unazunguka tu?
Kwa hyo unalo au?