Habari ya Ijumaa wana JF, naomba tujuzane, ukikuta wallet ya Mr ina business card ya massage clinic wakati haujamsikia ata sikumoja km alienda massage inakuwa imekaa vp hii? na vp ukiikuta katk handbag ya wife na mr hujaambiwa hata siku moya kama mama anapitaga massage clinic imekaa vp hii? Naomba tujuzane wajameni
Hii Thread haina Tija kwa masilahi ya Taifa
Please unaweza kufuta hii thread??
mimi nna bussiness card ya kampuni ya vufaa vya bakery....
na sina mpango kufungua bakery
nina bussiness card ya ofisa wa benki ya banco acb na sina mpango wa kufungua akaunti hapo
umeelewa????????/
Habari ya Ijumaa wana JF, naomba tujuzane, ukikuta wallet ya Mr ina business card ya massage clinic wakati haujamsikia ata sikumoja km alienda massage inakuwa imekaa vp hii? na vp ukiikuta katk handbag ya wife na mr hujaambiwa hata siku moya kama mama anapitaga massage clinic imekaa vp hii? Naomba tujuzane wajameni
<br />tuambie kwanza wewe ungefanyeje, tutapata wazo ukianza wewe.
<br />Hii Thread haina Tija kwa masilahi ya Taifa<br />
<br />
Please unaweza kufuta hii thread??
Hahaha! sio hadharani mkuu tutaharibu biashara ya watu ni-pm nikutumie mpaka majina ya wahudumu wakare lol!Mkuu uporoto hebu nitajie hizo za kihuni na bei zake..lol
Hapana mkuu Laussane kama kakuta Business card ya massage parlour flani saba zinazo ongoza kwa mambo yanayoambatana na massage kwakweli inabidi awe na wasiwasi totoz zingine zipo pale KUTUHUJUMU.Business Card sio Risiti....
Mimi nina Business Card ya Bill Gates hapa.., ingawa sijawahi kukutana nae na wala situmii products zake