Wadau maranyingi sana watu wengi tuna idea nzuri za kuanzisha biashara, na hata ukiangalia jukwaa hili utaona wengi wanauliza kushauriwa kuhusu kuanzisha biashara mbali mbali.
Na ukiangalia kiundani utakuta wengi wao ni waajiriwa hivyo hawana utaalamu wala muda kufuatilia kufanya research kuhusu idea zao za biashara.
Kwa wenzetu walioendelea sana kazi hii hufanywa na business consultant ambaye unamlipa kwa kukushauri biashara ya kufanya na pengine kukusimamia kutokana na mlivyokubaliana.
Naamini na bongo hawa maconsultant wapo, lakini je mtu kama mimi mwenye mtaji kama m15 ntaweza kumudu gharama zao, au pengine ni sisi tu tunaogopa kuwaona pengine gharama zao si kama tunavyo fikiria.
Mwenye ujuzi na ufahamu na hili hebu tuelimisheni maana naamini wapo wanaofanyakazi huko au waliowahi kuwaona.
Nawasilisha
Na ukiangalia kiundani utakuta wengi wao ni waajiriwa hivyo hawana utaalamu wala muda kufuatilia kufanya research kuhusu idea zao za biashara.
Kwa wenzetu walioendelea sana kazi hii hufanywa na business consultant ambaye unamlipa kwa kukushauri biashara ya kufanya na pengine kukusimamia kutokana na mlivyokubaliana.
Naamini na bongo hawa maconsultant wapo, lakini je mtu kama mimi mwenye mtaji kama m15 ntaweza kumudu gharama zao, au pengine ni sisi tu tunaogopa kuwaona pengine gharama zao si kama tunavyo fikiria.
Mwenye ujuzi na ufahamu na hili hebu tuelimisheni maana naamini wapo wanaofanyakazi huko au waliowahi kuwaona.
Nawasilisha