Business ideas (Bure)

Jig nzen kubet msimu unaanza soon kwa iyopesa nimtaji mkubwa mnooo ukiitumia vizr bila pupa kwa wiki utakua na m2. Ukitumia pupa usishangae kubaki na Salio 0

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Jig nzen kubet msimu unaanza soon kwa iyopesa nimtaji mkubwa mnooo ukiitumia vizr bila pupa kwa wiki utakua na m2. Ukitumia pupa usishangae kubaki na Salio 0

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Wew fundi kwan wa kubet kuna jamaa akaliwa pesa mingi sana

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Uzi chanya. Big up wachangiaji

I am your Professional Logo Designer :: Reload your Image. Get a Logo :: +255 688 999 006 (calls, texts & whatsapp)
 
SHUK
SHUKRANI MKUU KWA MCHANGO MUBASHARA
 
Samahani wakuu eti ukitaka kuagiza mzigo mtandaoni kutoka HONG KONG hd huku TZ gharama zake zinakuwaje kwa mwenye kujua msaada
Mzigo wenyew ni [Heat press machine]

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Samahani wakuu eti ukitaka kuagiza mzigo mtandaoni kutoka HONG KONG hd huku TZ gharama zake zinakuwaje kwa mwenye kujua msaada
Mzigo wenyew ni [Heat press machine]

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Gharama kubwa zipo TRA, utalipa VAT and custom tax
 
Mimi ni kijana niliyehitimu elimu yangu ya juu 2016 UDSM katika kukabiliana na changamoto za kutafuta kazi nimekamwa
Hivo basi nimeamua nijiajiri mwenyewe kwa kufanya biashara na nimeweza kupata mtaji wa Tsh 20 mil kwa dungu jamaa na marafiki . Je ni biashara gani naweza kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtaji wa kwanza ni wazo... we umeruka wazo na umepata pesa kama mtaji wa kwana
 
Uko wapi, kama huna idea kama wekeza kwenye idea za watu then unachukua hisa. Faida inayopatikana mnagawana. Kama uko tayari na hilo nishtue tufanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…