Business ideas (Bure)

Una shida nadhani ukiiona id yangu unakunja sura, pole naona nimekufanya uione jf chungu, acha mambo ya ki dada fanya mambo mengine
Kama nina mambo ya kidada njoo Pm nikuelekeze ninapoishi uje kwa usiku mmoja tu
 
Kama nina mambo ya kidada njoo Pm nikuelekeze ninapoishi uje kwa usiku mmoja tu
Ulishapata mkopo?
Yani unaniita kwenu kuwa na adabu, ukipata geto ntakuja....
Bye huu uzi wa biashara ukitaka chats za kipuuzi nicheki kwingine
 
Ulishapata mkopo?
Yani unaniita kwenu kuwa na adabu, ukipata geto ntakuja....
Bye huu uzi wa biashara ukitaka chats za kipuuzi nicheki kwingine
Kumbe majukwaa mengine ni kwa ajili ya chating za kipuuzi sikujua aise .
labda kama nilizaliwa na wewe ama ni ndugu yangu ujue naishi kwetu ama unajua kila linalonihusu nimeshakwambia nataka uje napokaa nikuoneshe huo udada unaousemea kwa usiku mmoja tu
 
Wandugu, mwenye wazo lolote LA biashara straight na clean lilitafitiwa lenye uwezo wa kuingiza milioni 1 kwa week, TAFADHALI ani PM then Tufanye kazi nitampatia 20% ya net Profit.
Mtaji usiwaze sana.

Karibuni
 
Wandugu, mwenye wazo lolote LA biashara straight na clean lilitafitiwa lenye uwezo wa kuingiza milioni 1 kwa week, TAFADHALI ani PM then Tufanye kazi nitampatia 20% ya net Profit.
Mtaji usiwaze sana.

Karibuni
Nakuja
 
kwa anayefahamu sehemu zinazopatikana vikopo vidogo vya plastiki vinavyotumika kuweka karanga na ubuyu wa kuuza rejereja anifahamishe.Nipo Dar na wanauza kwa shilingi ngapi?
 
Wandugu, mwenye wazo lolote LA biashara straight na clean lilitafitiwa lenye uwezo wa kuingiza milioni 1 kwa week, TAFADHALI ani PM then Tufanye kazi nitampatia 20% ya net Profit.
Mtaji usiwaze sana.

Karibuni
Nina wazo la kumenya viazi.
 
kwa anayefahamu sehemu zinazopatikana vikopo vidogo vya plastiki vinavyotumika kuweka karanga na ubuyu wa kuuza rejereja anifahamishe.Nipo Dar na wanauza kwa shilingi ngapi?
Nauza mimi
Kuna vya 5500
6500
4500
 
Nimeombwa ushauri ,
Alikua mwalimu wa shule ya msingi,kapata mafao kama M80 hivi,
Hajawahi fanya biashara na hatak kufanya biashara maana hajawaigi kufanya chochote
Hajazeeka sana,
Anaomba ushauri afanye kitu gani
 
Azigawe tu maana kama biashara hawezi na hajui la kufanya
Halafu hajazeeka atafute kazi nyingine halafu aanze kuwapanga mfano siku akipata 80m atazifanyia nini?

Hata mimi nasubiri hayo mafao lakini nina biashara zangu ambazo nitajazia tu
 
Azigawe tu maana kama biashara hawezi na hajui la kufanya
Halafu hajazeeka atafute kazi nyingine halafu aanze kuwapanga mfano siku akipata 80m atazifanyia nini?

Hata mimi nasubiri hayo mafao lakini nina biashara zangu ambazo nitajazia tu
Yeye hajawah fanya biashara before sasa akianza uzeen hivi anaeza akaharibu
 
umeongea point sana mkuu yaani umenigusa kwa kweli kiasi kwamba nataka niingie zaidi niko kwenye biashara nusunusu sasa umenipa moyo nipambane kabisa asante sana mkuu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…