Kati ya hizo wewe unafanya ipi tuje tukague tuone ufanisi wake?maana waafrika maneno mengi vitendo zero.UPANDE WA KILIMO
@ufugaji samaki
@ufugaji kuku wa mayai na nyama
@ufugaji wa nguruwe
@uzalishaji mbwa na kuwauza
Kilimo mbogamboga
@utengenezaji chakula cha mifugo
@utengenezaji wa unga na kuuuza
@kununua nafaka na kuuza kama mchele
@ulimaji wa mazao ya chakula na biashara
@ulimaji wa matunda
UPANDE WA ELIMU
@ufundishaji tuition,au shule binafsi
Huduma ya chakula mashuleni na ofisini
@utunzaji wa watoto/day care centre
@Uuzaji wa past papers na solution zake
@kufundisha kompyuta
@uuzaji wa vifaa vya stationery
UPANDE WA ICT
@uuzaji wa simu,vifaa vya simu na kurekebisha/repair
@uuzaji wa Pc na vifaa vyake
@kuwatengenezea web watu
GRAPHICS DESIGN
Huduma ya kurudisha namba zilizopotea
Huduma ya simu pesa(aitel money,tigo pesa na m pesa)
@uchezeshaji wa magemu
Huduma ya banda la kuangalia mechi Uefa,vpl,epl na world cup
BIASHARA NYINGINE
@upakaji rangi
@utengenezaji sabuni na cream body
@utengenezaji batiki
@utengenezaji dawa za chooni
anzisha blog yako
@ tengeneza app yyt katika google play store
Andika kitabu cha kuelimisha mambo ya dini
@Fanya research na tafuta wafadhili ktk hy mada yako na fanya presentation
@usafirishaji mizigo
@mtengenezaji cake za harusi na mpambaji
mkufunzi wa mazoezi ya viungo( body fitness trainer)
Wewe kweli hivi umewahi tengeneza business plan? Kip kinaanza kati ya idea na hizo strategies zako? Kweli inanisikitisha kuona kuwa hujua hata mchanganuo na wazo,hayo yote uliyosema ni kitu kimoja yaani market plan mbona hivi vilivyosalia tisa huvijui,kama wajua shusha nikupime uelewa wakoKati ya hizo wewe unafanya ipi tuje tukague tuone ufanisi wake?maana waafrika maneno mengi vitendo zero.
Pia biashara ya sasa inahitaji ubunifu kitu cha ziada kuliko washindani wako.Ungeweka hivyo viti vya ziada ningekuelewa mfano kumpelekea mteja bidhaa mpaka alipo bila malipo etc
Wewe ndugu yangu ndio bendera fuata upepo ,mtu akikuambia njia ya kigamboni ipo kisarawe nawe waenda tu bila hata kupima,haya endelea kusubiri watakuletea watakaopita hapauyu jamaa bhana.. kwa hiyo kuziorodhesha tu..
By the way mawazo mazuriUPANDE WA KILIMO
@ufugaji samaki
@ufugaji kuku wa mayai na nyama
@ufugaji wa nguruwe
@uzalishaji mbwa na kuwauza
Kilimo mbogamboga
@utengenezaji chakula cha mifugo
@utengenezaji wa unga na kuuuza
@kununua nafaka na kuuza kama mchele
@ulimaji wa mazao ya chakula na biashara
@ulimaji wa matunda
UPANDE WA ELIMU
@ufundishaji tuition,au shule binafsi
Huduma ya chakula mashuleni na ofisini
@utunzaji wa watoto/day care centre
@Uuzaji wa past papers na solution zake
@kufundisha kompyuta
@uuzaji wa vifaa vya stationery
UPANDE WA ICT
@uuzaji wa simu,vifaa vya simu na kurekebisha/repair
@uuzaji wa Pc na vifaa vyake
@kuwatengenezea web watu
GRAPHICS DESIGN
Huduma ya kurudisha namba zilizopotea
Huduma ya simu pesa(aitel money,tigo pesa na m pesa)
@uchezeshaji wa magemu
Huduma ya banda la kuangalia mechi Uefa,vpl,epl na world cup
BIASHARA NYINGINE
@upakaji rangi
@utengenezaji sabuni na cream body
@utengenezaji batiki
@utengenezaji dawa za chooni
anzisha blog yako
@ tengeneza app yyt katika google play store
Andika kitabu cha kuelimisha mambo ya dini
@Fanya research na tafuta wafadhili ktk hy mada yako na fanya presentation
@usafirishaji mizigo
@mtengenezaji cake za harusi na mpambaji
mkufunzi wa mazoezi ya viungo( body fitness trainer)
Japo ni mrefuu wacha nkupe like UBONGO WA KITANZANIA HUO.ukiona comment zingine utashia kusema waafrika unaotusumbua ni UJINGA yaani mtu kapoteza muda wake kueleza kwa kina fursa za kufanya unaanza kuhoji BOGUS kweli kaka endelea Mungu atakulipa
Na hapo ndipo wengi wetu tunakosea, tunawaza kwanza CAPITAL instead of an IDEA,, for me IDEA ndo first then CAPITAL baadae!thanks,jaribu kuleta zile za mitaji midogo may be za one milions
Wakuu nimekuwa nikifuatilia JF kwa muda mrefu sana, tangu enzi hizo inaitwa JamboForums mpaka JamiiForums. Nimeona watu wengi walivyo na muamko wa biashara ili kuongeza kipato sababu mishara ya kazini haitoshi. Lakini kikubwa nimeona watu wanavyoumiza kichwa kujua nini wafanye, wengi wamekuwa waigizaji au copycat. Kwenye biashara kuna watu wa aina tatu Innovator, imitator and ------, hivyo try to be innovator.
Ok enough of blah blah. Mpango wangu katika post hii ni kuainisha biashara 6 ambazo mtaji wake ni less than 10,000USD exclude a working capital.
1. Food Processing and Packaging: (The truth ni kwamba agro product zetu hazipo kwenye mashelf ya supermarket za dar sababu the packaging sucks. Nilinunua bottle ya mbilimbi pickles, yaani product is taste lakini the package ni aibu. Biashara yoyote inayohusu chakula una potential ya kuikuza at least by 15% annual. Food ambazo unaweza process includes Maharage, mahindi mabichi, samaki, njegere, mchicha na nyingine nyingi. Sio lazima kutengeneza pilipili everybody is doing it.
2. Maize and Rice Milling: Najua hapa wote mtasema oooh Azam na Jogoo wameshika soko, guess what kuna at least 20% ya market share ambayo ni nobody territory. Unachotakiwa ni kujitofautisha (Differentiation Strategy) na Azam na Jogoo.
Here is how:
(a) Kiwango (Quality), hakuna atake nunua unga wako kama ukikaa ndani unaoza,
(b) Urahisishaji (convenience) hapa sio kwenye price bali kwenye packaging, funga katika ujazo wa 1/2KG, 1KG, 2KG, 5KG na 10KG. Zama za mizani zimekwisha.
(c) Bei shindani (competitive price), kumbuka zama za kulopoka kwamba kilo 1,000 zimekwisha. Have all the facts behind your numbers, jua gharama za uzalishaji (Direct Cost & Indirect Cost), pricing is an art sio kulopokwa tuu sababu everybody is selling 1,000 basi na wewe 1,000.
3. Quick Car Wash,Tire Repair, Oil and Lubes: Kila mtu anaona magari yanavyongezeka Tanzania, the good news ni kwamba this is nothing in the next 10 years idadi will double. Means kwamba opportunity and opportunity for entrepreneur. Nimeita quick sababu quickness ndio inakutofautisha na wachaga walio na sehemu hizi.
Kumbuka we are not trying to bring new business into the market we're either changing the process or improve the service that's it. So, hapa unaitaji air compressor ya mid size, hydraulics car jack za ukweli sio vile vijeki mshenzi ambavyo lazima utumie msuli. Remember quickness here at least 10 minutes mtu hayupo.
4. Bakery, fast food restaurant and Pizza Place: Tanzania sasa imeamka jamani sio miaka ya 1980s ambapo watu walikuwa wananua maandazi ya kufunga na gazeti, watu sasa wanataka good product, well packed and delicious. Cha muhimu hapa ni location, ukienda kufungua hii venture kigogo huko au kwetu kimanga am sorry no one will recognize it.
Angalia location and target "middle income consumer" wanaojifunga tai na michuchumio ( facebook/twitter generation). Hapa pia kumbuka quickness is a key, watu wanajaribu kuishinda foleni, so no one will give you 20mins umfungie maandazi.
5. Mobile entertainment: Hapa kama una ujuzi wa kuwaza unaweza kutengeneza pesa mpaka basi. Over 20% ya Watanzania ni watoto 12years and younger. Means kwa dar tuu wapo watoto zaidi ya laki 6. Kila mdada anajaribu biashara ya kuleta bounce house kwenye birthday za watoto, that is so 1960s. Watoto wa siku hizi wapo 9 hours ahead, fikiria outside the box. Kumbuka hi St. Majanga zote zilizojaa dar ukiwa na good mobile entertainment idea you will partner with all of them. This is pure money...
6. Mobile Fast Food Restaurant: Wenyewe mnaona jinsi KFC au subway zinavyojaza au container pale morocco, lakini hawa wot