Business ideas (Bure)

Fungua biashara zinazojisimamia huku ukiendelea na kazi...
Mfano wa biashara hizo ni kama bajaji au boda boda. Kama una mil 20 unaweza kununua hata bajaji ndio nzr ukilinganisha na boda ambazo huwa na risk kubwa. Tafuta bajaj used ambazo zimetumika mwaka mmoja na bei zake huwa ni kati ya mil 4/4.5
Hesabu ni elfu 20 kwa siku.
Hii ni biashara nzur kwa mtu anaefanya kazi kwa sbb haihitaji muda wako mwingi kuifuatilia zaidi ya kuzipeleka service kila mwisho wa wiki. Kwa mtaji wako unaweza kupata bajaj nne na chenchi ikabaki kwa ajili ya service na vibali. Unazitumia mwaka mmoja halafu unaziuza na kununua nyingine.
N.B kama utaamua kufanya biashara hii siku ya kununua ni lazima uwe na fundi.
 
Binafsi nakushauri ujiwekee malengo ya muda mrefu kidogo.kama pesa ulioipata imetokana na kazi.nakushauri ujenge guest house, jiwekee malengo ndani ya miaka mitatu au minne iwe tayari kwani guest hata usimamizi wake ni rahisi.
 
Binafsi nakushauri ujiwekee malengo ya muda mrefu kidogo.kama pesa ulioipata imetokana na kazi.nakushauri ujenge guest house, jiwekee malengo ndani ya miaka mitatu au minne iwe tayari kwani guest hata usimamizi wake ni rahisi.

mkuu guest gani ya m 20 nami niijenge
 
Ushauri mzuri sana ,nashukuru sana ndugu yangu
 
Usisikilize watu wanaokukataza usiache kazi
kama una mtaji fikiria biashara ya kufanya
Mkuu kuacha kazi sio tatizo ila tunafikia unapo acha kazi unaenda kufanya nini ndo maana tunashauri kabla hajaacha kazi anapaswa kufanya biashara amabayo ataweka mtaji kidogo baada ya mda atakuwa amepata uzoefu na anapo acha kazi anajua anaenda kufanya kitu Fulani na maslahi yake anayajua
 
Binafsi nakushauri ujiwekee malengo ya muda mrefu kidogo.kama pesa ulioipata imetokana na kazi.nakushauri ujenge guest house, jiwekee malengo ndani ya miaka mitatu au minne iwe tayari kwani guest hata usimamizi wake ni rahisi.
Hebu nijuze hyo biashara Mimi sijui vzuri
 
Nimeona hapo biashara ya gesti ni kwel inalipa sana ukipata oneo husika mfano mpakani kama tunduma ila viwanja havikamatiki,kifupi kma kiwanja unacho sehemu inayoeleweka sio mbaya kwa kuanzia
 
ahsante
 
Asante sana mkuu napia siku ukitoa mtaji usisite kutujulisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…