Hiyo inatokea kwasababu wajasiriamali wengi wanaoanza hawafahamu lolote kuhusu mbinu zakuanzisha biashara itakayofanikiwa.
Wengi wanafikiri kwasababu idea yake ni nzuri kichwani mwake basi wateja wapo.
This is a lie.
Sasa ngoja nitoe darasa kidogo.
1 • mwanzo kabisa kabla hujaanza biashara chunguza je wateja unaotaka kuwafikia wanauhitaji gani? Pia jiulize je wateja hao wanao uwezo na wapo tayari kulipia au kununua bidhaa/huduma yako?
2 • Baada ya kugundua potential customers wanataka nini na iwapo wanauwezo wa kununua inabidi sasa ujiulize je, wewe mjasiriamali unao uwezo au ujuzi wakutatia hiyo changamoto? Kama huna uwezo/ujuzi unaohitajika inabidi utafute kwanza sehemu ujifunze.
3 • Number tatu ni kuanza kuongea na potential customers wako. WAFAHAMISHE ungependa kuwapatia suluhisho la changamoto wanazokabili. Hii ni muhimu sana kwasababu inajenga uhusiano wakaribu na mteja.
4 • Number nne sasa anza kuuza bidhaa au ujuzi wako kwa wateja wako.
Unaona inavyokuwa rahisi?
Hii mbinu itakusaidia sana kuepuka kupata hasara yakuuza bidhaa au huduma ambayo watu hawahitaji.
Utaokoa muda na fedha.
Kama unahangaika kupata wateja kwenye business yako nitumie pm nitafurahi kukusaidia kufahamu mbinu 10 za kuanzisha biashara itakayofanikiwa.