Forever living....
Watu wa forever wana techniques za ajabu, kuna bidada mmoja ye huwa anasema ana shughuli ila hasemi ni shughuli ya nini, anatoa tu mwaliko anaandaa chakula na vinywajiHata foreverliving hawajitangazi namna hiyo.
Forever living....
Ha ha ha ha eeehSiku Hizi Washakuwa FOREVER DEAD