Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Namshukuru tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa upungufu wa mtaji.
Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni
1.Udongo tiba
2. Sabuni za udongo
3.Lotion
4. Mafuta ya Nywele
5. Shampoo
Hivyo nahitaji Partner mpya aangalie ramani ya biashara , vipi atawekeza,vipi atapata faida. Partners wasizidi 2 kwa kuanzia ili uendeshaji uwe rahisi na kiasi cha uwekezaji kisizidi milioni moja kwa robo mwaka hii kulingana na plan.
Piga 0713-039875 tuyajenge. Tuko Kibaha mjini.
Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni
1.Udongo tiba
2. Sabuni za udongo
3.Lotion
4. Mafuta ya Nywele
5. Shampoo
Hivyo nahitaji Partner mpya aangalie ramani ya biashara , vipi atawekeza,vipi atapata faida. Partners wasizidi 2 kwa kuanzia ili uendeshaji uwe rahisi na kiasi cha uwekezaji kisizidi milioni moja kwa robo mwaka hii kulingana na plan.
Piga 0713-039875 tuyajenge. Tuko Kibaha mjini.