antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 450
- 883
Wakuu habari!
Natumaini ni wazima na wale ambao wanapitia changamoto mbalimbali za kiafya Mungu awasaidie ili muweze kurejea katika Hali yenu ya kawaida !
Niende moja kwa moja kwenye point yangu iliyonifanya nianzishe huu Uzi.
Mimi ni mhangaikaji Sana Tena Sana na ninatumia uwezo wangu wote kuhakikisha angalau maisha yangu yanakuwa stable na hii inatokana na mfumo wa maisha yangu toka ninakua Hadi Sasa yaani kwa wale wanaoyajua maisha ya kutokuwa na wazazi wao na hawawafahamu kabisa wanaweza kuwa mashahidi ni namna gani tunahangaika huku na huku ili kupata mkate wa kila siku , tunapitia mengi kwakweli lakini Mungu wetu hajawahi kututupa na hutulinda kwa njia mbalimbali ndo maana bado tuna survive
Binafsi huwa na tabia ya kujifunza vitu tofauti tofauti ili mradi nimeona fursa katika hiko kitu, mpaka Sasa Nina uwezo wa kupata at least sh 12000 Hadi 20000 kwa siku kupitia vyanzo mbalimbali hivyo kunihakikishia maisha ya hapa mjini Kama kula ,pango kusaidia ndugu n.k
Lakini Kuna fursa ambayo ninataka kuifanya tangu muda mrefu na Ina zero risk na faida yake inaweza range Kati ya 10000-50000+ kwa siku moja na hii ni uhakika asilimia 100% lakini changamoto kubwa ni mtaji wa pamoja maana nimejitahidi kutunza kidogo nachopata ili kuanza imeshindikana yaani kutokana na kuwa kipato nakipata daily na nategemea kula hapohapo, pango hapo hapo na ndugu pia hapohapo ko najikuta sifikii lengo na siku zinazidi kusonga
Ombi langu: hii biashara inahitaji mtaji Kati ya 2m hadi 7m haizidi hapo na mtaji huu utaweza kuleta faida ya sh 10000-50000 per day au zaidi itategemea, na kumbuka mtaji hauathiriwi hata Senti 10 na muda wowote unaweza kughairi na hela yako itabaki salama hivyo Kama Kuna mtu ana kiasi hiki na anataka tuingie ubia nipo tayari kumfuata popote nikiwa na full documents zangu zote na hio hela ya mtaji yeye ndo ataicontrol muda wote yaani mnafanya kazi then jioni mnapigiana mahesabu na kugawana asilimia ya faida itakayopatikana na nipo tayari kufanya kazi under his/her control ili iwe rahisi kwake na awe na uhakika kuhusu usalama wa hela yake
Kwa mtu mwenye uwezo wa hiko kiasi anaweza Nipa namba yake inbox au anaweza kunipm ili tuweze kuonana tukayazungumza ana kwa ana
Ahsante
Natumaini ni wazima na wale ambao wanapitia changamoto mbalimbali za kiafya Mungu awasaidie ili muweze kurejea katika Hali yenu ya kawaida !
Niende moja kwa moja kwenye point yangu iliyonifanya nianzishe huu Uzi.
Mimi ni mhangaikaji Sana Tena Sana na ninatumia uwezo wangu wote kuhakikisha angalau maisha yangu yanakuwa stable na hii inatokana na mfumo wa maisha yangu toka ninakua Hadi Sasa yaani kwa wale wanaoyajua maisha ya kutokuwa na wazazi wao na hawawafahamu kabisa wanaweza kuwa mashahidi ni namna gani tunahangaika huku na huku ili kupata mkate wa kila siku , tunapitia mengi kwakweli lakini Mungu wetu hajawahi kututupa na hutulinda kwa njia mbalimbali ndo maana bado tuna survive
Binafsi huwa na tabia ya kujifunza vitu tofauti tofauti ili mradi nimeona fursa katika hiko kitu, mpaka Sasa Nina uwezo wa kupata at least sh 12000 Hadi 20000 kwa siku kupitia vyanzo mbalimbali hivyo kunihakikishia maisha ya hapa mjini Kama kula ,pango kusaidia ndugu n.k
Lakini Kuna fursa ambayo ninataka kuifanya tangu muda mrefu na Ina zero risk na faida yake inaweza range Kati ya 10000-50000+ kwa siku moja na hii ni uhakika asilimia 100% lakini changamoto kubwa ni mtaji wa pamoja maana nimejitahidi kutunza kidogo nachopata ili kuanza imeshindikana yaani kutokana na kuwa kipato nakipata daily na nategemea kula hapohapo, pango hapo hapo na ndugu pia hapohapo ko najikuta sifikii lengo na siku zinazidi kusonga
Ombi langu: hii biashara inahitaji mtaji Kati ya 2m hadi 7m haizidi hapo na mtaji huu utaweza kuleta faida ya sh 10000-50000 per day au zaidi itategemea, na kumbuka mtaji hauathiriwi hata Senti 10 na muda wowote unaweza kughairi na hela yako itabaki salama hivyo Kama Kuna mtu ana kiasi hiki na anataka tuingie ubia nipo tayari kumfuata popote nikiwa na full documents zangu zote na hio hela ya mtaji yeye ndo ataicontrol muda wote yaani mnafanya kazi then jioni mnapigiana mahesabu na kugawana asilimia ya faida itakayopatikana na nipo tayari kufanya kazi under his/her control ili iwe rahisi kwake na awe na uhakika kuhusu usalama wa hela yake
Kwa mtu mwenye uwezo wa hiko kiasi anaweza Nipa namba yake inbox au anaweza kunipm ili tuweze kuonana tukayazungumza ana kwa ana
Ahsante