Mkuu Mimi bado napambana bado kuhusu,Una dhamana gani?
Nimereply mkuu nategemea response yako piaNime kupm angalia unijibu..
This means hio biashara yako inaweza kufanyika mahali kokote?Nimereply mkuu nategemea response yako pia
Ndio ni set up tu mkuuThis means hio biashara yako inaweza kufanyika mahali kokote?
Nieleze ishu nzima PM ikojeNdio ni set up tu mkuu
Navosema zero risk means huwezi poteza hela yako hata cent 1 mtaji utakuwa salama 100%°Elezea ziro risk how?
°Eleza biashara yenyewe?
°Jaribu kuwa muwazi zaidi maana hali sio shwari kabisa.
N. B, watu wamekuwa wajanja sana nowadays,mtu anaweza kukwambia lipa hapa pesa mzigo utakuja na gari then usije yeye akawa wa kwanza kulia kwa nguvu, kumbe ni mipango!