Business partner mradi wa min poetry farm DSM

Business partner mradi wa min poetry farm DSM

Encysis Inc

Member
Joined
Jul 31, 2019
Posts
87
Reaction score
118
Uhitaji wa Kuku wa Kienyeji na Ndege pori unazidi kukua jijini huku upatikanaji wa Bidhaa halisi ukizidi kuwa Hafifu sana sokoni.
Hapa ndiopo napata wazo namna ya kuazisha Shamba dogo la kuhifadhi ndege hawa ambapo mteja atawapata kwa wakati wakiwa na afya nzuri zaidi.
Kwasasa najishuulisha na uuzaji wa Mayai ya Kisasa na Kienyeji hapa Kariakoo, mambo yanakweda vizuri japo hatukidhi kutoa huduma kamili kutokana na ufinyu wa bajeti iliyopo.

WAZO.
Kuwa na eneo la wazi, ambalo litaandaliwa vizuri kwa kuwekwa miundombimu yote muhimu kwa ajili ya kufuga ndege hawa
Kuna maeneo mawili mpaka sasa nayafuatilia.
1. Manispaa ya Temeke
2. Manispaa ya Ubungo
Maeneo haya yote yako pembezoni mwa barabara kuu, hivyo kuvutia zaidi wateja wapitao kwa kuona kwa macho

MIUNDOMBINU.
Nyavu, Bati, bomba kwa ajili ya ujenzi wa mabanda mazuri na imara, mbao, vyombo vya kulishia,

UENDESHAJI WA MRADI.
Hapa wanafugwa ndege pori, kuku bata, njiwa na Kanga
Tutakuwa tukiuza Jumla na rejareja
Ndege hawa wote watatolewa mikoani kwa kukusanya brid zinazofanya vizuri zaidi
Mimi nitakuwa mtendaji hivyo anahitajika Muwezeshaji
Mgawanyo ni 50% kwa 50%

CHANGAMOTO:
Changamoto kama magonjwa, hali ya hewa na Hali ya soko tutakabiliana nazo kwa haraka ili kulinda uwekezaji

Mradi huu sio kwamba unaanza bali unaendelezwa kwani nina uzoefu katika Eneo hili

Jiji la Dsm watu wana uhitaji mkubwa sana wa vitu fresh na vyenye afya ila upatikanaji ni changmoto sana.
Nimegundua pia Na bei sio tatizo endapo kama una bidhaa inayokidhi mahitaji ya mteja.
Mradi huu u akwenda kutoa suluhisho la tatizo hili kwa wakazi wa mji huu na biashara itafanyika kwa ukubwa

Niko Kariakoo, Mtaa wa Likoma/Magila
+255-767-11-222-1
Twitter @WorldChickenDsm

Nimeandika kwa uchache
Karibuni kwa mchango wa mawazo
IMG_20220730_194340.jpg
images%20(96).jpg
images%20(5).jpg
images.jpg
1444240685883322.jpg
images%20(13).jpg
IMG_20220603_192901.jpg
20220628_173121.jpg
187920595009705.jpg


Habari za muda huu tena.
Eneo la kudumu kwa zaidi ya kipindi cha miaka mitatu limepatikana, eneo ambalo litatumika kuendesha mradi huu wa kuku na kanga ambapo soko kuu ni Dsm. Soko ni hai na ndio limeleta msukumo eneo litafutwe na lipatikane.
Eneo liko mkoa wa Dodoma wilaya Kongwa. Ukitokea Dsm shukia Gairo stand mpya kisha panda gari za kwenda Sunya na ushuke Lobilo shamba lilipo. Eneo lina nyumba ya kuishi na nyumba ndogo. Ni eneo la ekari moja.

MALENGO.
Ni kuendesha mradi wa kuku 750 hadi 600 katika eneo hili kwa kuanzia. Gharama za uendeshaji sio kubwa sana kwa eneo hili kwani sehemu ya shehena ya vyakula vya kuku inapatikana kwa gharama nafuu isipokuwa kwa vyakula vitakavyoagizwa nje ya mkoa kama Mwanza.
Hali ya hewa ni stable na eneo limejitenga hivyo kutoa ulinzi wa mradi kwa mlipuko wa magonjwa

MAHITAJI
1. Solar kits kwa ajili ya nishati kwasababu nyumba haijafikiwa na umeme
2. Fence rola 8 kwa ajili ya kuzungushia eneo zima na kugawa partition
3. Vifaa vya kisasa vya kuunda mabanda ya kisasa
4. Simtanks
5. Incubator ndogo

Tutaanza kwa kutotolesha tray 25 kwanza.
Kuku tray 20 na kanga tray 5.
KARIBUNI.
View attachment 2342246View attachment 2342249View attachment 2342252
 

Attachments

  • IMG-20220726-WA0005.jpg
    IMG-20220726-WA0005.jpg
    59.3 KB · Views: 32
  • 20220726_082507.jpg
    20220726_082507.jpg
    72.1 KB · Views: 28
  • IMG-20220726-WA0002.jpg
    IMG-20220726-WA0002.jpg
    55.6 KB · Views: 31
  • images%20(98).jpg
    images%20(98).jpg
    9.4 KB · Views: 31
  • images%20(97).jpg
    images%20(97).jpg
    27.2 KB · Views: 32
  • images%20(70).jpg
    images%20(70).jpg
    11.3 KB · Views: 26
  • IMG-20220610-WA0006.jpg
    IMG-20220610-WA0006.jpg
    125.2 KB · Views: 27
  • 20220614_160104.jpg
    20220614_160104.jpg
    73.3 KB · Views: 26
  • images%20(45).jpg
    images%20(45).jpg
    9.7 KB · Views: 25
So hiyo 50% ndio nawekeza kiasi gani cha fedha?
Hii 50% iko hivi...
Kwa Kiasi utakachowekeza maana yake ni asilimia 100% ya mradi. Hivyo uzalisdhaji utakapoanza... Faida inayopatikana Mgao unakuwa sawa kati ya Mwendesha Mradi na muwezeshaji ama muwekezaji.
Hii ikimaanisha Mimi nina wazo nitakuwa mtendaji, wewe una fedha, mimi nakuwa mratibu wewe ukiwa muwezeshaji. Hivyo hapo Share i 50%
 
So hiyo 50% ndio nawekeza kiasi gani cha fedha?
Kiasi cha pesa ambacho unaweza kuwekeza katika wazo hili la kibiashara kisiwe zaidi ya 5M (Max) na Kisiwe chini ya 1.5M (min).
Hii ni kwasababu kwa sasa uwezo wangu wa kumiliki na kusimamia fedha katika biashara nimejiweka hadi kwa 5M, itaongeezeka nitakapo ongeza uwezo pia
 
Sawa
Mambo Yasijekuwa Tu Hovyo
Mambo hayawezi kuwa hovyo kwa sababu kila kitu kinafanyika kwa utaratibu wa kiofisi na sio binafsi, hivyo ni ngumu sana labda tatizo lianzie ndani ya Mhimili nnamaanisha (Mimi na wewe)
Hata itakapofikia hatua ya kuungana nami kuna mambo ambayo unatakiwa ufahamu (Mambo msingi ya Mradi).
Hii ikihusisha yafuatayo...
1. Historia yako ya kifedha
2. Biashara unazofanya au kusimamia au ulizowahi
3. Nafasi yako ya Kiroho Kifedha
4. Uwezo wako wako wa Kiroho Kifedha
5. Uweo wako Binafsi Kijasiriamali Biashara (Uwezo huu hauhusiani kabisa na Elimu uliyonayo)
6. Una Ona? (Jicho la Kibiashara Unalo?)

Nimekuja Kugundua Kampuni kubwa na zinazofanya vizuri zaidi sokoni na Kibiashara (zina watu) wenye zaidi ya hayo mambo 6 juu, na wanalipwa vizuri sana maana ni sehemu ya Mhimili wa Kampuni
 
Hii 50% iko hivi...
Kwa Kiasi utakachowekeza maana yake ni asilimia 100% ya mradi. Hivyo uzalisdhaji utakapoanza... Faida inayopatikana Mgao unakuwa sawa kati ya Mwendesha Mradi na muwezeshaji ama muwekezaji.
Hii ikimaanisha Mimi nina wazo nitakuwa mtendaji, wewe una fedha, mimi nakuwa mratibu wewe ukiwa muwezeshaji. Hivyo hapo Share i 50%
Sawa. Ni kiasi gani cha uwekezaji kinahitajika?
 
2.5M TZS
Ikiwa na mchanganuo ufuatao.
1. Kutengeneeza Eneo na miundombinu yake kwa ukamili 1.2M TZS
Uzio imara, Maji, Umeme, Mabanda, vyakula, madawa na vitendea kazi

2. Pesa inayowekwa kwenye mzunguko wa Biashara: 1M TZS
Kuku, Kanga, Mayai (Kienyeji na Kisasa) na Mafuta ya Alizeti

3. Akiba na Pesa ya Tahadhari 300k TZS

JUMLA 2.5M TZS

Zingatia: Hili Eneo ambapo utawekwa Mradi linakuwa sio Milki yetu ila tunapewa Kibali kutumia Eneo hilo kuendesha shuuli ambazo ni za Kimazingira.
Haya ni maeneo ya wazi ambayo ni Mali ya Umma. Kuna taratibu za kufuata ili kupata kibali kutumia eneo hili.
 
Mambo hayawezi kuwa hovyo kwa sababu kila kitu kinafanyika kwa utaratibu wa kiofisi na sio binafsi, hivyo ni ngumu sana labda tatizo lianzie ndani ya Mhimili nnamaanisha (Mimi na wewe)
Hata itakapofikia hatua ya kuungana nami kuna mambo ambayo unatakiwa ufahamu (Mambo msingi ya Mradi).
Hii ikihusisha yafuatayo...
1. Historia yako ya kifedha
2. Biashara unazofanya au kusimamia au ulizowahi
3. Nafasi yako ya Kiroho Kifedha
4. Uwezo wako wako wa Kiroho Kifedha
5. Uweo wako Binafsi Kijasiriamali Biashara (Uwezo huu hauhusiani kabisa na Elimu uliyonayo)
6. Una Ona? (Jicho la Kibiashara Unalo?)
Nimekuja Kugundua Kampuni kubwa na zinazofanya vizuri zaidi sokoni na Kibiashara (zina watu) wenye zaidi ya hayo mambo 6 juu, na wanalipwa vizuri sana maana ni sehemu ya Mhimili wa Kampuni
 
Sawa. Ni kiasi gani cha uwekezaji kinahitajika?
Kiasi kinachohitajika kwa sasa ni 2.5M TZS

Ikiwa na mchanganuo ufuatao.
1. Kutengeneeza Eneo na miundombinu yake kwa ukamili 1.2M TZS
Uzio imara, Maji, Umeme, Mabanda, vyakula, madawa na vitendea kazi

2. Pesa inayowekwa kwenye mzunguko wa Biashara: 1M TZS
Kuku, Kanga, Mayai (Kienyeji na Kisasa) na Mafuta ya Alizeti

3. Akiba na Pesa ya Tahadhari 300k TZS

JUMLA 2.5M TZS

Zingatia: Hili Eneo ambapo utawekwa Mradi linakuwa sio Milki yetu ila tunapewa Kibali kutumia Eneo hilo kuendesha shuuli ambazo ni za Kimazingira.
Haya ni maeneo ya wazi ambayo ni Mali ya Umma. Kuna taratibu za kufuata ili kupata kibali kutumia eneo hili.
 
Back
Top Bottom