Nchi hizo zoote wanajua Kiswahili na Kiingereza ni tabu saana kwa nchi hizo.Labda Zimbabwe
Ushauri wa Bure,
Wafanyabishara weengi ukiwaanzia kizungu kiingi unawakimbiaza.
Na ndio maana hata miaka ya zamani hizi Bank,kuwa na uzungu mwingi watu wakawa wanaogopa.
Ushauri:-
Tenga kama 1m hivi,utembelee nchi hizo,maana pesa hiyo inatosha,ukienda kiguma,we Nenda kwa bai hadi Kigoma kisha onganisha Nchi hizo.Hapo itakupa mwanga wa kujua nini cha kufanya.Unapiga Door to Door.
Siku hizi biashara unaenda kiubishi ubishi kaka