IQ_son_daughter
Member
- Dec 24, 2019
- 12
- 2
Nategemea na nipo kwenye process ya kuzalisha Black soldiers fly ambao watatumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku, nguruwe, samaki na vinginevyo.
Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika kama mbolea. Hivyo ninahitaji watu walio serious nitakaoshirikiana nao katika katika kufanikisha hili.
Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika kama mbolea. Hivyo ninahitaji watu walio serious nitakaoshirikiana nao katika katika kufanikisha hili.