IQ_son_daughter
Member
- Dec 24, 2019
- 12
- 2
Toa elimu kidogo kuhusu huu mradi. Black soldiers fly ni nini, malighafi, mchakato wa uzalishaji, soko n.k. Nina imani wengi hatuujui huu mradi. Natanguliza shukrani mkuu.Nategemea na nipo kwenye process ya kuzalisha Black soldiers fly ambao watatumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku, nguruwe, samaki na vinginevyo. Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika kama mbolea. Hivyo ninahitaji watu walio serious nitakaoshirikiana nao katika katika kufanikisha hili.
Nategemea na nipo kwenye process ya kuzalisha Black soldiers fly ambao watatumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku, nguruwe, samaki na vinginevyo.
Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika kama mbolea. Hivyo ninahitaji watu walio serious nitakaoshirikiana nao katika katika kufanikisha hili.
Black Soldier fly Larvae Productions inahitaji mtaji mkuu, million 5 ni ndogo sana,Nategemea na nipo kwenye process ya kuzalisha Black soldiers fly ambao watatumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku, nguruwe, samaki na vinginevyo.
Pia mabaki yake yanayopatikana yatatumika kama mbolea. Hivyo ninahitaji watu walio serious nitakaoshirikiana nao katika katika kufanikisha hili.
Million 5 haitoshi, vifaa vya kuanza navyo na bado means ya ku collect waste za kuwalisha, labda uwe na Gari pick up yako.Samahani kwa kutoorodhesha hili.
Mradi utakuwa Dar es Salaam. Kwa kuanza itabidi tuingie gharama ya vifaa vya uzalishaji ambavyo havitagharimu milioni 5.
Nimesema m5 kwa sababu kuna vitu tayari ninavyo. Naishi DSM ila mradi utafanyika yombo mpera.Black Soldier fly Larvae Productions inahitaji mtaji mkuu, million 5 ni ndogo sana,
Naifanya Arusha naijua fika, pia ni labaour intensive.
Na unapaswa juwa na eneo lako nje ya makazi ya watu kwa sababu we fly wanao kuwa kwenye nyumba yao ikitokea ajari wakachotoka basi ni balaa tupu mtaani lazima wakazi waandamane mbaya na unaweza pata misuko suko ya kufa mtu.
Kule Mkuranga kuna Wazungu iliwatokea ilikuwa Balaa tupu.