Hosea Ben Member Joined Sep 22, 2014 Posts 69 Reaction score 15 May 17, 2015 #1 Natafuta mtaalam wa kuandika Business plan ya dispensary katika eneo la kijijini lenye wakazi 20,000. Ni shilingi ngapi na kwa muda gani? Tuwasiliane kwa simu: 0752238263
Natafuta mtaalam wa kuandika Business plan ya dispensary katika eneo la kijijini lenye wakazi 20,000. Ni shilingi ngapi na kwa muda gani? Tuwasiliane kwa simu: 0752238263
Zamazangu JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 849 Reaction score 497 May 17, 2015 #2 Ulishapata mtaalamu? MIMI Nitatumia wk 2, malipo ni 10% ya gharama yote ya mradi
M Mtoto Tajiri JF-Expert Member Joined Sep 29, 2014 Posts 300 Reaction score 173 May 17, 2015 #3 Zamazangu said: Ulishapata mtaalamu? MIMI Nitatumia wk 2, malipo ni 10% ya gharama yote ya mradi Click to expand... kwa mantiki hii ya 10% siutafanya mradi uwe wa bilioni ili ujihakikishie 100ml fasta!,malipo mengine aisee!
Zamazangu said: Ulishapata mtaalamu? MIMI Nitatumia wk 2, malipo ni 10% ya gharama yote ya mradi Click to expand... kwa mantiki hii ya 10% siutafanya mradi uwe wa bilioni ili ujihakikishie 100ml fasta!,malipo mengine aisee!
Zamazangu JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 849 Reaction score 497 May 19, 2015 #4 Hofu yako tu mheshimiwa Mtoto Tajiri kiwango cha gharama ya mradi haitegemei sana mawazo ya mwandishi bali mwenye mtaji. na ndiyo maana kunakuwa na mawacliano ya karibu na ya mara kwa mara kati ya wadau hao 2. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hofu yako tu mheshimiwa Mtoto Tajiri kiwango cha gharama ya mradi haitegemei sana mawazo ya mwandishi bali mwenye mtaji. na ndiyo maana kunakuwa na mawacliano ya karibu na ya mara kwa mara kati ya wadau hao 2.