Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani Bro nahofia Kudisplay But kama ukipenda naweza nikakuelezea kwa kifupi kupitia Email na akipatikana mtu itapoanza kurun nitapost sehemu ya projectwriteup yake
Kama unaweza kueleza kwenye email ina tofauti gani na kueleza hapa? Sema biashara gani watu wanunue hisa. Umeshaona kampuni inauza hisa halafu inafanya siri biashara yake?
Kama unaweza kueleza kwenye email ina tofauti gani na kueleza hapa? Sema biashara gani watu wanunue hisa. Umeshaona kampuni inauza hisa halafu inafanya siri biashara yake?
Msamiati Mimi nimekuelewa Lakini hebu niambie Possibility ya Kuinvest 5m Then kupata Income 3m kwa mwezi:wacko:
Msamiati Mimi nimekuelewa Lakini hebu niambie Possibility ya Kuinvest 5m Then kupata Income 3m kwa mwezi:wacko:
Mkuu naomba nikupe Email yangu unipe kaintro kama inasound ur idea i wil find u!!! aba.pelham@yahoo.comnina business idea, ambayo ninauhakika inauwzo wa kutengeneza mpaka zaidi ya milioni3 kwa mwezi
-marketing plan imeandaliwa kitaalamu kabisa
mtu ambaye yupo serious na mwenye uwezo wa kuwekeza kiasi chochote kisichopungua 5,000,000 tuwasiliane simu yangu ni, 0712 494761 email titusjulius89@gmail.com
msamiati, kama uko serious weka angalau hints za mradi unaotaka kufanya. Wawekezaji wanatakiwa kubembelezwa ndio watoe pesa zao. Sio wewe unayetafuta wawekezaji uwawekee masharti wakuandikie email. Kuna watu wanaitwa angel investors, hao ndio unaowatafuta wewe. Yaani mtu ambaye ataweka pesa zake kwenye mradi lakini asiwe directly involved kwenye daily running of the business. Sasa watu kama hao wapo wengi, lakini hawawezi kuwa na shida ya kukuandikia wewe email. Wewe ndiye unayetakiwa kufanya efforts za kuwafikia, kwa sababu wewe ndio mwenye shida. Angel investor hana shida, ana pesa ambayo ikikaa bank poa, akiinvest kwenye mradi wako poa.
Mkuu naomba nikupe Email yangu unipe kaintro kama inasound ur idea i wil find u!!! aba.pelham@yahoo.comnina business idea, ambayo ninauhakika inauwzo wa kutengeneza mpaka zaidi ya milioni3 kwa mwezi
-marketing plan imeandaliwa kitaalamu kabisa
mtu ambaye yupo serious na mwenye uwezo wa kuwekeza kiasi chochote kisichopungua 5,000,000 tuwasiliane simu yangu ni, 0712 494761 email titusjulius89@gmail.com
Wazo langu ni kurun City Clickers Enterteinment As Compuny Kampuny ambayo itakuwa ikiendesha miradi mikubwa miwili, Mradi utakaokuwa ukihusiana na maswala ya Sanaa na Burudani (MarketBase) na Mradi Mwingine ni Mradi Utakaokua Ukihusiana na Maswala ya Technologia ya Bussiness Machines (Mactonic Service)
Huu utakuwa ni Mradi ambao umelengwa kufanyika kimataifa. MB itakuwa Directory na soko kubwa La sanaa na Burudani
Mambo yatakayofanywa na kampuni hii ni mambo ambayo Hayajafanywa na kampuni yoyote ya burudani hapa Tz Pengine na East Africa kwa ujumla Ndio maana sitaki kuelezea sana hapa,Ila kutakuwa na vitu kama
MBR (Market Base Ranking) Here Is The Place where we can Bridge the gape Bitween You and People Who need You
MBA (Market Base Award) Nothing is Great Than Worldwide recognition
MBP (Market Base Projects) Nina uhakika kuwa kazi Bora za sanaa Tanzania ni zile zitakazokuwa zikitoka MarketBase
MarketBase ni Idea ambayo imekuwa ikisubiliwa kwa muda mrefu sana ilikuleta Ufumbuzi wa Matatizo Sugu katika nyanja za sanaa na burudani hususan katika nchi zetu za Africa Mashariki
Maxmum Invesment Katika Mradi Huu peke yake ni kama m7 But it can Begin with 3m only
Mradi huu ukiwa umesimama kabisa unaweza kuingiza hadi zaidi ya 5 million kwa mwezi hii ni ukitoa gharama zingine
zote za uendeshaji kama mishahara, usafiri, mawasiliano N.k
KUMBUKA! MAFANIKIO HAYALETWI KWA MALENGO MAZURI BALI HULETWA NA MIPANGO MADHUBUTI YA KUFIKIA MALENGO MarketBase imejengwa na mpango madhubuti ya kuleta mabadiliko
MARCTONIC SERVICE
View attachment 62431
Hii ni huduma inayokuja kwa ajili ya kupunguza mzigo wa gharama kubwa zinazotolewa kwa ajili ya opparating machines katika ofisi mbali mbali
Kwa utafiti nilio fanya Marctonic itaondoa 40% hadi 70% ya gharama ambazo huwa zinatumiwa na wamiliki wa maofisi
na kuitengenezea kampuni 45% ya faida
Itakapoanza huduma hii hakuna mtu atakaekuwa tayari kununua machine ambayo haitambuliki na marctonic
Maxmum Investment ya huduma hii ni 6m lakini inaweza kuanza kwa 3m
Hii inaweza kuleta faida ya mpaka Tsh 3m kwa mwezi
Ili kuweza kulunch ALL Project CITYCLICKRS COMPUNY nA MIRADI YAKE mactonic na MARKETBASE INAHITAJIKA MAXMUM CAPITAL OF 15MILLION
PROJECT ITAANZIA NA UKUBWA KULINGANA NA UKUBWA WA UWEKEZAJI UNAVYOKUWA
NADHANI NITAKUWA NIMESAIDIA MTU YOYOTE MWENYE INTEREST ANAKARIBISHWA