Bustani ya Olimpiki ya Beijing yaweka vifaa 186 visivyo na vizuizi kwa walemavu

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121


Tarehe 1 Machi mwaka 2022, walemavu 50 walitembelea Bustani ya Olimpiki ya Beijing. Bustani hiyo imeweka vifaa 186 visivyo na vizuizi kwa walemavu kwenye maeneo yote ya umma, ili kuboresha huduma kwa watu hao maalumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…