Joyce SARINGO
New Member
- Mar 12, 2015
- 3
- 0
Kutokana na historia inaonekana kwamba kabila la wazanaki lina zingatia na kuenzi MAADILI NA TUNU za utu, upendo, Uwajibikaji, uzalendo, Amani na Utulivu ambayo wamekuwa wakiirithisha kizazi hadi kizazi.
Kila Kiongozi aliyepata fursa ya kupata baraka toka kwa wazee wa kizanaki wamekuwa viongozi bora na wazalendo wa kweli wenye uchungu na Taifa hili.
Nyerere Alipata bahati ya kuwa mwanafamilia wa wazanaki ambae aliongoza Taifa kwa Ufanisi mkubwa akilitoa katika makucha ya wakoloni, na baadae Mkapa alipata baraka hizo, pale Butiama, kila mtu ni shahidi juu ya mafanikio yake katika uongozi wake uliotukuka. JE Ni kiongozi yupi atakaebahatika kupata baraka hii?
Kila Kiongozi aliyepata fursa ya kupata baraka toka kwa wazee wa kizanaki wamekuwa viongozi bora na wazalendo wa kweli wenye uchungu na Taifa hili.
Nyerere Alipata bahati ya kuwa mwanafamilia wa wazanaki ambae aliongoza Taifa kwa Ufanisi mkubwa akilitoa katika makucha ya wakoloni, na baadae Mkapa alipata baraka hizo, pale Butiama, kila mtu ni shahidi juu ya mafanikio yake katika uongozi wake uliotukuka. JE Ni kiongozi yupi atakaebahatika kupata baraka hii?