Butimba

Butimba

Kennedy

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
54,894
Reaction score
64,043
IMG-20190731-WA0012.jpg
IMG-20190731-WA0012.jpg
 
Vipi ameinuliwa ili aonekane au ameshushwa kabisa?
 
Wewe jamaa utakuwa unamjua vizuri au ABC toka Butimba unazipata vizuri Sana... Huo ndio ukweli Kituo kilichofuata baada ya Kuinuliwa ni ukerewe!!
Hahaa hebu kuweni serious, yule jamaa aliporwa nyota?
 
Hiyo sura ni wakati anamsikiliza yule mfungwa akimweleza mkuu wa nchi madhambi yake.. Aisee
 
Nikikunyoa Hizo Nyota Zako
Yaani Nimefanya Ziara Hapa Ili Kukunyanyua Unajua Nitakachoamua

Wafanye kazi hawa watendaji, muhimu tusiwaonee wafungwa na kuiba mali zao hata vitu vidogo walivyonavyo.

Ilitakiwa gereza kuwa sehemu ya haki, kujirekebisha. Tufanye hivyo.
 
Back
Top Bottom