Buzi Bukoba wanakula nyama za watu

Karibu sana kijijini kwetu, bugabo Buzi... Hatuli watu sisi, nyegera waitu
 
Jamani niko mkoani Kagera nikazi, nimetahadharishwa nisiende kijiji cha Buzi, wanakula nyama za watu, nasikia hata wamachinga hawaendi huko kufanya biashara.
Nielekeze jinsi ya kufika huko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuuh ko ni supu tu
 
Kipindi naishi Bukoba niliwahi kusikia hivi kitu, kuna rafiki yangu alikuwa ananilazimisha mara kadhaa kumsindikiza Bugabo but roho mara nyingi ilikuwa inagoma. Alikuwa anachukia sana ninapokataa. Kuna kipindi alifiwa na mjomba wake aliwahi niomba nimsindikize msibani bugabo but nilikataa
 
[/QUOTE]

Umenikumbusha maeneo niliyowahi kupita, kuna mwalo mkubwa sana wa dagaa maeneo hayo. Sijui ndio buzi au nachanganya? nilifika mwaloni kutokea kibengwe na sio umbali mrefu sana.
 
Duuh ya kweli haya !!!!!!?
 
Heeee !!!!!!! Hii kali
wana kula tena sana walimla baba mdogo wangu alikua anafundisha Hekima girls sec.school..anaitwa peter kamugisha mwalimu wa hesabu..ni wala watu usiende ndugu..wajinga sana hao.
 
Aisee kweli bado tupo kwenye Ujima
 
Kuna mtani wangu hapa Rutashobya ananiambia hata yeye amewahi kula ila kwa bahati mbaya
Kuna mama alikua anafichaga nyama kwenye mgomba wao wakitoka shule wanaiba wanakula.. sikumoja wakakuta vidole vya mtu anakwambia tulitapika mno
 
Kuna mtani wangu hapa Rutashobya ananiambia hata yeye amewahi kula ila kwa bahati mbaya
Kuna mama alikua anafichaga nyama kwenye mgomba wao wakitoka shule wanaiba wanakula.. sikumoja wakakuta vidole vya mtu anakwambia tulitapika mno
dah
 
walimla muhuni wangu cheddy hawakumbakiza hata makalio nipeleke kwao kama uthibitisho walikula kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…