Wanataka kueleza hisia zao kuwa wakati watoto wao wanazama kwenda kuchukua vito kule handakini,kila wanapotoka hawaoni kitu,ila kwa wajanja ni vichuguu virefu tu vinaota. Wamegundua kuwa kumbe yale mahandaki ndo nyuma zao za baadae watakazo share na chatu na nguruwe pori hapo baadae,hivyo wanaomba usaidizi