Hahahaaaaaaaaasikua nayo kwakweli...simu alikua nayo baba tu!
.sikua nayo kwakweli...simu alikua nayo baba tu!
.Dah nakumbuka enzi zileeeeee
Hivi Mobitel na Buzz ilianzaga ipi?
Hope Mobitel...huko ndo kwenyewe
Enzi zile nilikua nafanya mchezo wa kubahatisha namba, nikikutana na sauti ya kiume napotezea, nikikutana na ya kike nachombeza. Sasa kuna huyo dada anaitwa ***, ana sauti laiiini kwenye simu. Daah! Tukaanza ku"flirt", tukakubaliana kuonana. Unajua nini kilinitokea?
...
Hata wewe au rafiki yako keshapitia huko.
...
Enzi hizo buzz ni bomba bana, mishale ya saa sita nait kali mpaka majogoo watu wanaongea "*****" kwenye vilongalonga vyao, mostly SIEMENS dole gumba, TWANGA pepeta na NOKIA jeneza n.k.!
...
This is chit chat
.Umenikumbusha Erickson yangu, kama mche wa sabuni. Kuna kipindi flan ilikuwa ikiita kwenye gari hata kupokea aibu, lakin enzi hizo unaonekana mtoto wa mjinii.
Yaani teknolojia inabadilika kwa kasi sana, leo hii watoto wadogowadogo wako na samsung tablet, smartphones, .... Mmmh
.enzi hizo niko celtel tena yenye logo ya blue
Celtel juzi juzi tu huo u enzi umetokea wapi?enzi hizo niko celtel tena yenye logo ya blue