Kwa Kweli Hii kozi..si Ya kushauri Mtu kuja Kusoma...nilivYokuwa advance nilikuwa nikisikia eti Chuo Utasoma kwa raha Sana kuliko advance but Naona Mambo Yamekuwa vice-versa Mziki wa Chuo ni Nouma Hasahasa BVM leo Lecture Ya Nne Notice Ni Over Biological Science< BS > duuh kuna Hii Part Ya anatoMY ndo imeniua Kabisa..kitu Haimezeki..kabisa...sasa Ndo Nimeamini Ya kwamb Hata T.O akija kusoma hii kozi lazma atembelee tumbo...
mapema tu hahaha
anatomy ni hatari hakuna kuelewa hapo ni full kumeza..mimi nipo MD nayo ni nouma
Hamia Agriculture, huko hupawezi.
Kwa Kweli Hii kozi..si Ya kushauri Mtu kuja Kusoma...nilivYokuwa advance nilikuwa nikisikia eti Chuo Utasoma kwa raha Sana kuliko advance but Naona Mambo Yamekuwa vice-versa Mziki wa Chuo ni Nouma Hasahasa BVM leo Lecture Ya Nne Notice Ni Over Biological Science< BS > duuh kuna Hii Part Ya anatoMY ndo imeniua Kabisa..kitu Haimezeki..kabisa...sasa Ndo Nimeamini Ya kwamb Hata T.O akija kusoma hii kozi lazma atembelee tumbo...
habari changanya changanya hahahah nimeipenda hii....Jee BMW nayo unaionaje mziki wake??????
Kwa Kweli Hii kozi..si Ya kushauri Mtu kuja Kusoma...nilivYokuwa advance nilikuwa nikisikia eti Chuo Utasoma kwa raha Sana kuliko advance but Naona Mambo Yamekuwa vice-versa Mziki wa Chuo ni Nouma Hasahasa BVM leo Lecture Ya Nne Notice Ni Over Biological Science< BS > duuh kuna Hii Part Ya anatoMY ndo imeniua Kabisa..kitu Haimezeki..kabisa...sasa Ndo Nimeamini Ya kwamb Hata T.O akija kusoma hii kozi lazma atembelee tumbo...