Bw.Raila Odinga apewe "House Arrest" Mara Moja!

Bw.Raila Odinga apewe "House Arrest" Mara Moja!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...


Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...
 
Mawazo mgandoo , Uhuruvakabiliane na magumu ya ofisi ya umma yeye alidhani ikulu ni,pahala pakuvutia Banghi
 
Aanze na ashabaaaaaaaaaaaabuuuu kwanza aje kwa raila mkuu

ama ningekushauri umwambie atoe yale matakataka yake somalia vinginevyo akuna mkenya atasalimika na

mabomu ya
 
Nimeona BBC wakimtambua Odinga kama Raisi wa kenya.. alafu kila mwezi yuko kwa Obama anapiga lecture..kwenye vyuo kadha wa kadha
 
Acha ufara wewe hiyo nchi ni ya hadi wamasai.
 
.RAILA THE MAJORITY LEADER,HOLD ABOUT 50% OF KENYAN POPULATION,MANY PPLS BELIEVE HIM TOO,am not suggest for that shits
 
Bado yuko na ndoto za kuwa rais mwacheni apoteze muda wake atasubiri sana
 
Raila odinga for presidency in next elections all kenyan believe and like him "babaa"

He will be a president for his wife and his adopted kids...someone who is impotent cant lead a nation
 
He will be a president for his wife and his adopted kids...someone who is impotent cant lead a nation

Wewe ni kama kinyesi kikubwa....baradhuli mshenzi....mambo ya familia yake yanakuhusu nini?...ushenzi wako peleka kule. ...jitu zima halina aibu.
 
Kwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...


Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...

Kama Kenya ni nchi ya kidemokrasia, na inajua misingi ya demokrasia basi demokrasia ya kweli haiwaweki detention raia wake inapotokea mikinzano ya kisiasa kutokana na misimamo/mitizamo ya wahusika!
 
Kwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...


Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...

Sema sababu haswa ni zipi za yeye kuwekwa house arrest. Ninyi ndo walewale msiopenda kuhojiwa au kuona mtu akikukosoa unakimbilia kudai ni uhaini kijana unamawazo ya enzi za mkoloni! Nakushauri usome historia ya Kenya na Somalia kabla na baada ya kupata uhuru, na utafute ujue kwanini kaskazini mashariki mwa Kenya hakuendelezwi na Serikali ya Kenya.
 
He will be a president for his wife and his adopted kids...someone who is impotent cant lead a nation

Nadhani utakuwa mkikuyu hivi......punguza ushuzi huyo Odinga ni kiongozi ambaye amechangia demokrasia sana katika li inchi hilo miaka mingi kabla hata huyo dogo mvuta bange hajatoka kwa babake....pumbaf mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom