Bwana Gwajima ana mkutano leo Mbalizi Mbeya Tarehe 05/03/2023

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Kuna gari la matangazo kwa wiki sasa limekuwa likipita mitaani kutangaza mkutano wa bwana Josephat gwajima utakaofanyika Mbalizi Mbeya.

Moja ya maneno yanayotumiwa na mtangazaji kuwavuta watu kwenye mkutano huo ni kusema "Misukule itatolewa" I will be there kuona hiyo misukule ya kupangwa ikibidi kupata picha zao na kuziwasilisha kwa nyinyi mlionituma hapo uwanjani ukizingatia JF ina mkono mrefu unaofika popote
 
Mbona hatujakutuma?
Kwanza nenda huenda wewe ni msukule ukaponywe
 
Hahahaaaa patakuwa pamekauka na vumbi la tarafani na maperere au DDC yote na kipande Cha mlima reli, mbalizi ule mji daah.

Una legend beki makini Bahati Mwaipopo, Kiungo hatari Willey Njau malegend wa Tiger FC enzi hizo, Bahati na Classmate wake Monti Kipoke Sec hatari sana, Hapo Rungwe Sec ilikuwa na Mkali mmoja hio 1990 alikuwa anapiga mpira hatari sijui ni Mponjoli yule.
 
🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Afadhali Gwajima aendelee na kazi ya kufufua misukule kwani 2025 hawezi tena kushinda ubunge.
 
Kama kawaida yake kasahau jimbo anatafuta sadaka
 
Hata madame mmoja amesema anamrudisha yule msanii.

Nchi ya wagagagigikoko
 
Hii dini ina mauza uza sana
 
Unadanganyika kirahisi namna hii? Hujui hata ile kuhudhuria tu umeshampa faida huyu tapeli?
 
Du we mwenyeji kweri kweri(in magu voice) huyu bwana misukule atakuwa mlima reli
 
Alipoingia kwa geer ya misukule aliingiza pesa nyingi sana, ila watu wameshtuka, alete sera nyingine. Mimi simuamini mtu anaetumikia mabwana wawili.
 
Hahahah alikuja Tabora akaleta misukule fake ikiwa na simu janja 😅 misukule haifahamiki hata asili zao 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…