Bwana harusi aliyejiteka aachiwa kwa dhamana

Bwana harusi aliyejiteka aachiwa kwa dhamana

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Vicent Masawe (36) maarufu Bwana harusi, aliyepotea muda mfupi baada ya harusi yake na baadae kukutwa kwa mganga wa Kienyeji Chakechake Pemba, anayekabiliwa na mashtaka ya wizi wa gari na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu ameachiwa huru kwa dhamana.

PIA SOMA
- POLISI: Bwana harusi alijificha kwa mganga.
 
Nadhani hajaachiwa huru bali ameachiwa baada ya kukidhi masharti ya dhamana
 
Back
Top Bottom