Bwana harusi kikojozi

Kasuku Mdogo

Member
Joined
Jun 2, 2016
Posts
14
Reaction score
23
Jamaa alikuwa ana tabia ya kukojoa kitandani baadhi ya siku.

Akafikia kuoa. Katika ya siku za mwanzo baada ya harusi, siku moja kama kawaida yake alijikojolea.

Akapiga kelele “Mungu wangu eee”.

Mke wake akashtuka, akamuuliza: Vipi mume wangu?

Mume: Hivi mke wangu ungeota unataka kuliwa na mamba, chuwi na simba kwa wakati mmoja ungefanyaje?

Mke: Ningezimia kabisa.

Mume: Basi mwenzio sijazimia nimejikojolea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…